JK akiwa na waziri wa mambo ya nje Mh. Bernard Membe katika mkutano wa kampeni jimboni Mtama, mkoani Lindi, Oktoba 20, 2010. Kwa video hii na nyingine kibao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. nasubiri comment zije nisome, walahi tena.

    ReplyDelete
  2. Si huwa hamtaki kuzungumza kuhusu tatizo la udini. Manasema haupo, basi.

    Ila kwenye uchaguzi, na kama unawaumizeni.

    kama upo, katiba iko kimya, hamna hata kifungu cha sheria cha kufuata sheria na kushtaki mahakamani.

    ReplyDelete
  3. Huyu membe mbona anafaa kuwa raisi ajaye.Anasema manano ambayo wakristo wengi hawayasemi.

    Lakini kuhusu udini, mbon hizo data zinaonyesha kuwepo udini? tehe, tehe, dini moja wako wengi zaidi, tehe....

    Najuwa utetezi, hao wengine hawakusoma japo ni 50% ya watu woote.

    Au (wengine husema), kweli mdini, ametoa 8% mpaka 40% ya mawaziri na Makamishna?

    ReplyDelete
  4. mbona udini upo sana tangu awamu ya kwanza ya serikali TZ? nyie mnauona leo? au kwa kuwa serikali ya sasa inaweka usawa kwa dini zote. Hao mnaowalaumu wamesoma sana licha ya kubaguliwa kupata hizo nafasi za masomo na nafasi za kazi.(huo ndo ukweli na ndivyo ilivyo waislamu wanabaguliwa) Msiongelee ushabiki pimeni mambo kwa akili na mfanye tafiti hilo mtaligundua.

    ReplyDelete
  5. Mbona data za mawaziri wengi kuwa waislamu zaidi ya wakristo hazipatikani?

    Mbona haitokei, tena mkristo akiwa raisi? ili kujua kama hatuna udini?

    Hata hivyo, viongozi wajao huenda wakafuta kuwepo kwa data zinazotia wasiwasi kuwepo kwa udini.

    ReplyDelete
  6. Mungu peke yake ndo anajuwa kama upo au hamna.

    Kama JK aliteua kwa kuangalia kuwa dini fulani lazima wawe wachache basi alikuwa anaogopa udini.

    Hata hivyo woga wake haujamsaidia, kwani malalamiko yapo.

    ReplyDelete
  7. Kwa nini mnatangaza hizo data kama kionyeshi? Fanyeni 50/50

    ReplyDelete
  8. Mbona hayo yanasemwa na membe tuu. Kwa sababu alikupa uwaziri wa uraisi?

    ReplyDelete
  9. Nionavyo: wapiga kura kama 80% hawana udini. Ila wachaguliwa wanaweza kuwa nao.

    ReplyDelete
  10. Hivi kwa nini mnazungumza topic hii?

    Nchi yetu haina udini wala ukabila.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...