Professor Yaw Nyarko of the New York Uninersity


We lose a lot of competent professionals yearly to rich nations overseas where they go to seek better opportunies for work. This so-called ‘brain drain’ raises a fear that these rich countries will lure all of the educated human capital away from their home countries.

There is an interesting point of view advocated by Professors William Easterly and Yaw Nyarko that this phenomenon is actually good for Africa; they posit that this matter should be dubbed ‘brain circulation’, rather than brain drain. Listen below to an interview that Prof. Nyarko had recently with the World Vision Report on this matter.




Click Arrow for audio
for Source

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. May i sorry,Naomba niwe muwazi katika hili kwani kumsifia mtu sivibaya.Nakusifia sana wewe ulie tuma hii na pia nakupongeza kwa kuliona hilo.
    Mimi napenda sana kuishi nchini kwangu na kufanya kazi.Ila mpaka sasa nimiaka saba sija wahi kuwa nchini na karibuni nategemea kurudi na kuishi nyumbani baaday ya masomo.
    Napenda kama kuna yoyote anaefahamu jinsi ya kutafuta kazi hapo nyumbani anifahamishe.Kwani kipindi nikiondoka ulikuwa unasubiri kusoma magazetini.
    Ila huku niliko wenzetu wana peleka copy za vyeti vyao wizara ya mambo ya ndani na utumishi na kazi zinapo tokea hufikishwa kule kwanza.
    Nitafurahi kwa sasa kufahamu inkuwaje hapo Tanzania.Haswa watu wanaohusika na mambo ya kazi wanaweza kunifahamisha zaid.Aksante.

    ReplyDelete
  2. Kosa la nani, afrika (njaa) au ulaya (pesa ya benz)?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...