
Tunasikitika kuwatangazia kifo cha Mchungaji MATIKU THOMAS NYITAMBE
kilichotokea leo huko TARIME, MUSOMA-TANZANIA kwa ajali ya gari.Marehemu alikuwa anasafiri na mpenzi mkewe ambaye naye inasadikikaamepata majeraha. Ni jioni hii tu ndio ametolewa kwenye chumba cha ICU
(Intensive Care Unit).
Marehemu ni baba mzazi wa:
1. Beatrice Nyitambe Chisumo (Mke wa Bernard Chisumo)
2. Mrs Veronica Dibogo na,
3. Soni Nyitambe
ambao wote wapo hapa Uingereza.
Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading
RG4 5DB
Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Benard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890
Mwenyezi Mungu awape amani na faraja familia, ndugu na marafiki wote wakati huu wa msiba na siku zote.
ReplyDeleteAidha tunamwombea mama Nyitambe ili aweze kurejea katika afya yake mapema.
VEREDIANA POLE SANA KWA MSIBA HUU MZITO,MUNGU AWAPE NGUVU NA SUBIRA.
ReplyDeleteTUKO PAMOJA KATIKA HILI NA TUNAWAPA POLE WOTE .
KWA NIABA YA WAFANYAKAZI WA SDV TRANSAMI TANZANIA
HATBAH MDUMA
BOND DEPARTMENT.
POLENI WANAFAMILIA KWA MSIBA...!
ReplyDeleteTUMEPOTEZANA KIPINDI KIREFU HASA SONI TULIKUWA MABEST SANA PRIMARY.MUNGU AKUPE MOYO WA FARAJA NA FAMILIA KWA UJUMLA.
LA MSINGI TUJIFUNZE KUHESABU SIKU ZETU ILI KIFO IWE NI KULALA USINGIZI TU WA KUTUMAINI KUMLAKI JEHOVA AJAPO
BENJAMIN KUSSAGA
Ndugu zangu wote, familia ya Mchungaji Matiku nyitambe na Kanisa kwa Ujumla tunawaombea Mungu awafute machozi hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mzee wetu.
ReplyDeleteNeema ya Mungu iwafunike!
Hassan J. Mosoka
Poleni sana wana familia wa Mzee Nyitambe. Niliishi naye hapa Marekani enzi za uanafunzi wake na nitamkumbuka daima.
ReplyDeleteEmmanuel Muganda
Mzee Nyitambe amekua role model wangu katika maisha. Mungu amuweke pema peponi
ReplyDelete