Home
Unlabelled
WADAU WA SEKTA YA NISHATI WAKUTANA LEO JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sidhani kama tunahitaji mikutano baada ya mikutano baada ya mikutano baada ya mikutano. Tunahitaji mikataba mipya ya madini, wawekezaji asilimia 50 na umma wa watanzania asilimia 50. Halafu wawekezaji wanalipa ushuru, pamoja na mrahaba wa asilimia 3 hadi 5 kwa ajili ya kuendeleza maeneo ya machimbo.
ReplyDeleteZaidi ya hapo ni ushabiki, maneno matupu na sherehe zisizokuwa na mpango.
Najua muheshimiwa sana Dr. Michuzi huwezi itoa hii kwasababu ya ushabiki. Globu ya jamii = Globu ya Serikali???? Just thinking out loud!
Ni kweli hatuitaji Mikutano.
ReplyDeleteHivi kwanini serikali inashindwa kusimamia utajiri wetu. Mbona Nigeria wanafaidi utajiri wao wa Mafuta. Sisi tuna madini kibao lakini nchi ni masikini pamoja na watu wake. Wanafaidi wawekezaji tuu, bado hawajapewa na miaka mitano ya msamaha wa kodi, baada ya miaka mitano wana badilisha jina la kampuni. Jamani viongozi angalieni.