Balozi wa Tanzania nchini Canada, Mh. Alex Massinda (katikati) akiwa na ugeni kutoka Tanzania unaohudhuria Semina ya Wabunge wa Canada na Jumuiya ya Madola. Kutoka kushoto kwa Balozi ni Mh. Mahmoud T.Kombo Naibu Wazri wa Habari, Utamaduni na Michezo kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kulia kwa Balozi ni Mh. Fatma A. Fereji, Mjumbe wa Baraza la Uwakilishi. Wengine katika picha ni Maafisa wa Ubalozi.
Balozi wa Tanzania nchini Canada, Mh. Alex Massinda (katikati) akiwa na ugeni kutoka Tanzania unaohudhuria Semina ya Wabunge wa Canada na Jumuiya ya Madola. Kutoka kushoto kwa Balozi ni Mh. Mahmoud T.Kombo Naibu Wazri wa Habari, Utamaduni na Michezo kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kulia kwa Balozi ni Mh. Fatma A. Fereji, Mjumbe wa Baraza la Uwakilishi. Wengine katika picha ni Maafisa wa Ubalozi.


Ndugu Sokoine siku hizi yupo Canada? Hongera ndugu!!
ReplyDeleteWashington DC.