Home
Unlabelled
bank of india
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kama una vishida vyako uchwara...nenda kawaone....utafurahi mwenyewe
ReplyDeleteMichu ni vizuri pia ukaelezea kuwa hili jengo lilikuwa la Printpak na limekarabatiwa na kuonekana kama jipya ba ni fundisho kwa wale wanaofikiri solution ni kubomoa tu majengo ya zamani na kuiwacha Dar bila ya historia
ReplyDeleteChe
Soon tutaona Bank of China hahah full mafamba
ReplyDeleteunashangaa bank of china?mbona uk na usa zipo na ni strong!
ReplyDeleteunawadharau wachina wkt ndo wanabeba dunia kwa sasa?
Naona nje hapo wadau wanakula taimingi la magari ya Mwenge. Kwa maana wakati mwingine gari likifika posta mpya halisimami. Juu kwa Juu. Kweli usafiri Bongo kichefuchefu!
ReplyDeleteUwekezaji oye!! I wonder who got that 10%?
ReplyDeleteBTW, I love my country and I am a true Tanzanian.
Wewe Anony wa Sun Nov 21, 11:42:00 AM, ACHA UONGO WEWE
ReplyDeleteWatu wasione haya ni maendeleo! Haya mabenki yanajua wabongo bado tumezubaa, tunapigwa interest kubwa mno kuchukua mikopo ukilinganisha na nchi nyingine! Sisi tunaona kawaida tu. Vile vile kuna jamii kubwa ya kihindi, wanaosafirisha fedha kwao. Hio ndio hali halisi, tutake tusitake!
ReplyDeleteOfcourse it is easier to open a such instution in Tanzania. It is a matter of 5-10%!! What do you expect from an Indian's bank? If we do not want to learn from Tanzania Railway Cooperation, then it might be too late for US!!!
ReplyDeleteI do love my country!
Benki kibaooo lakini wabongo ni maskini...aagh!
ReplyDelete