Mh. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania nchini Japan (wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Dr. Dr Torao Tokuda (katika wheelchair) ambaye ni Mwenyekiti wa Tokushukai Medical Group pamoja na Dr. Chaula (wa pili kulia) na wenzake kutoka Dodoma, baada ya kufuzu mafunzo kuhusu usimamizi na uendeshaji wa Dialysis Machine inayotumika kuwasaidia wagonjwa wa figo leo.
Dr. Tokuda atatoa msaada wa mashine hiyo kwa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Dodoma mara baada ya chuo hicho kukamilisha ujenzi wa jengo litalowekwa mashine hiyo.
Dr. Tokuda amepooza mwili mzima kwa miaka minane sasa lakini akili yake haikuathirika anamiliki hospitali 67 Japan na kwingineko na anatoa misaada mingi kwa sekta ya afya kwa nchi zinazoendelea. Aliyesimama ni Dr. Milanga Mratibu wa Tokushukai Medical Corporation kanda ya Afrika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...