Home
Unlabelled
Mh. Amos Makalla aenda kuwapa pole waathirika na mafuriko jimboni kwake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hongera mh. sasa changamkia fungu la kurekebisha hiyo miundo mbinu kuzuia janga kubwa zaidi la hilo maana bora kinga kuliko tiba
ReplyDeleteUwaziri huoo unakuja mheshimiwa.....
ReplyDeleteAngeenda pia Mvomero mjini na Turiani/Mtibwa kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za kishindo
ReplyDeleteBrother Makalla hongera kwa kuwakumbuka wapiga kura wako. Ushauri wangu, next time unakwenda kukagua shughuli kama hiyo ACHANA na mavazi ya kwendea ofisini. Ungeweza kuvaa nguo zinazoendana na tukio. Naomba usiwe kama wanasiasa wanawekewa mkeka chini ili wapande mti Januari Mosi (siku ya kupanda mti). Picha za JK Nyerere akienda shamba alikuwa akivaa kama mtu wa shamba kweli. Japo mavazi hayana uhusiano na utendaji wa mtu lakini yana umuhimu linapokuja swala la mvuto (impression). Vinginevyo tunatarajia uwakilishi uliotukuka
ReplyDelete