
Marehemu Emanuel Ngelela
Na Francis Godwin
Na Francis Godwin
ALIYEKUWA afisa afya mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Bw.Emanuel Ngelela amefariki dunia ghafla nyumbani akiwa nyumbani kwake maeneo ya Frelimo katika Manispaa ya Iringa.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa Bi.Teresia Mahongo amewaeleza waandishi wa habari leo asubuhi ofisini kwake kuhusiana na kifo cha afya afya huyo .
Amesema kuwa shughuli za mazishi ya afya afya huyo Emanuel Ngelela zinategemea kufanyika leo jioni katika eneo la Makanyagio Manispaa ya Iringa na kuwa kifo chake kimesababishwa na ugonjwa wa PB uliokuwa ukimsumbua.
Huu ni msiba wa pili kutokea ndani ya wiki moja katika Manispaa ya Iringa ambapo msiba mwingine ni ule wa aliyekuwa katibu wa Madiwani katika baraza la madiwani lililopita na diwani wa viti maalu kanda ya Ruaha marehemu Fatuma Kihombo aliyefariki juzi katika Hospitali ya mkoa wa Iringa.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa Bi.Teresia Mahongo amewaeleza waandishi wa habari leo asubuhi ofisini kwake kuhusiana na kifo cha afya afya huyo .
Amesema kuwa shughuli za mazishi ya afya afya huyo Emanuel Ngelela zinategemea kufanyika leo jioni katika eneo la Makanyagio Manispaa ya Iringa na kuwa kifo chake kimesababishwa na ugonjwa wa PB uliokuwa ukimsumbua.
Huu ni msiba wa pili kutokea ndani ya wiki moja katika Manispaa ya Iringa ambapo msiba mwingine ni ule wa aliyekuwa katibu wa Madiwani katika baraza la madiwani lililopita na diwani wa viti maalu kanda ya Ruaha marehemu Fatuma Kihombo aliyefariki juzi katika Hospitali ya mkoa wa Iringa.
hariri taarifa please kabla ya kupost
ReplyDeleteRIP Emanuel
I knew you man, RIP Emma...poleni Manispaa ya Iringa kwa kupoteza mfanyakazi bora katika Idara ya Afya.
ReplyDeleteMbije,Andendekisye