Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi (kulia) akiteta jambo na Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM na Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Rajab Mwilima, wakati wa hafla ya kuapishwa Waziri mkuu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Allaah akujalie kheri mzee wetu Mwalimu Mwinyi, akujaaliye ushike karne.

    ReplyDelete
  2. Nice seeing Mzee Mwinyi in such a good shape. Not bad for an 85 year old man. God bless Hon A H Mwinyi. Amen.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...