Zoezi la upigaji kura za kumchagua Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekamilika hivi punde mjini Dodoma huku wagombea wawili wa nafasi hiyo Anne Makinda (CCM) akimteua mbunge wa Ludewa Mpiganaji Mh. Deo Haule Filikunjombe kusimamia kura zake na mgombea wa Chadema Mh. Mabere Marando akimteua Mh. Halima Mdea kwenda kusimamia kura zake.
Hivyo wakati wowote kuanzia sasa
matokeo yatatangazwa na spika atafahamika...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Walichakachua? Hebu Mdee tujulishe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...