------------------------------------------
DATA ZA UCHAGUZI WA SPIKA
Kura zilizopigwa - 325
Kura zilizoharibika - 9 (2.7%)
Mabere Marandu - 53 (16.2%)
Anne Makinda - 265 (74.2%)
-----------------------------------------
ALICHOONGEA MH. MAKINDA NA WAANDISHI
SPIKA mpya wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda (61) amesema, yeye si fisadi, hakuna mtu au kikundi cha watu kilichomuweka kwenye nafasi hiyo na hakuna anayeweza kumtumia.
Makinda amesema, katika ratiba ya maisha yake alipanga kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, hivyo hayupo hapo kwa bahati mbaya.
Amesema, alitaka kuwa Spika, ni sehemu ya ratiba ya maisha yake, na kama angetumiwa asingetaka kuwa kwenye nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Makinda, kuna watu walimshawishi agombee uspika wa Bunge mwaka 2005, ilikuwa lazima agombee wakati huu lakini kama Samuel Sitta angegombea yeye (Makinda) angejitoa.
Makinda amesema, katika ratiba ya maisha yake alipanga kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, hivyo hayupo hapo kwa bahati mbaya.
Amesema, alitaka kuwa Spika, ni sehemu ya ratiba ya maisha yake, na kama angetumiwa asingetaka kuwa kwenye nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Makinda, kuna watu walimshawishi agombee uspika wa Bunge mwaka 2005, ilikuwa lazima agombee wakati huu lakini kama Samuel Sitta angegombea yeye (Makinda) angejitoa.
Habari kamili
you have not communicated, hujatwambia kasema nini!!!
ReplyDeleteHivi kwa wazee wakubwa wazima hao, kura zinaharibikaje?
ReplyDelete.....Ankal umewassilisha nini!?
ReplyDeletemzee hassan nimekubali mambo yako kumbe huko bbc karubu huku mji wa kusoma tumekumiss babu
ReplyDeleteni mimi mzee wa house of fraser Reading branch