Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. CCM OYEEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  2. Mtakoma nyie, sisi muheshimiwa Zungu katuvutia mpaka kona, unanunua mpira wako unavuta mpaka uani mpooo?! na barabara pesa zilikopwa na serikali kujengea shule za sekondari lakini sasa zisharejeshwa keshokutwa(ya manyani) tutamwagiwa lami.
    huo mgao shingofeni hautuhusu!

    michuzi usilete itikadi hapa!!

    ReplyDelete
  3. Salaam Ankal,

    Ndio maana umeme unakatika mara kwa mara , basi MGAo huo wananyamaza utaona ukifikia karibu na kuisha ndio wanajidai kuna mgao halafu baada ya siku mbili wanasema mgao umeisha tuone wanalo wanalolifanya kumbe hakuna lolote! MONOPOLY hii itaisha lini??? kwanini serikali haiwainvite makampuni mengine waje wafanye hii biashara ya umeme jamani??? yaani huduma za jamii ni bure kabisa! bora siye tunatumia maji ya visima hata sijui kulipia bili dawasco au kama kuna mvua zimenyesha au maji yamekatika lol:

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...