Ali Fereji Tamim amefanikiwa kutetea kiti chake cha Urais wa Chama cha soka cha Zanzibar (ZFA) baada ya kupata kura 32 kati ya 54 zilizopigwa katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika leo huko Pemba.
Tamima amemshinda mpinzani wake wa karibu Suleiman Jabir aliyepata kura 20 wakati mgombea mwingine wa nafasi hiyo Munir Zakaria kambulia kura mbili.
Nafasi ya Makamu wa Rais imeenda kwa Amani Makungu aliyejipatia kura 32, akimshindaga Haji Ameir ambaye alijikuta anakiacha kiti hicho baada ya kupata kura 22.
Nafasi ya Makamu wa Rais kwa Pemba imechukuliwa na Ali Mohamed
Ali ambaye alichota kura 44, baada ya aliekua anashikilia nafasi hiyo Suleiman Amour kujitoa.
Tamima amemshinda mpinzani wake wa karibu Suleiman Jabir aliyepata kura 20 wakati mgombea mwingine wa nafasi hiyo Munir Zakaria kambulia kura mbili.
Nafasi ya Makamu wa Rais imeenda kwa Amani Makungu aliyejipatia kura 32, akimshindaga Haji Ameir ambaye alijikuta anakiacha kiti hicho baada ya kupata kura 22.
Nafasi ya Makamu wa Rais kwa Pemba imechukuliwa na Ali Mohamed
Ali ambaye alichota kura 44, baada ya aliekua anashikilia nafasi hiyo Suleiman Amour kujitoa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...