FOR THE FIRST TIME IN H-TOWN.
Mama wa mitindo maarufu kutoka Tanzania bibie Asia Idarous-Khamsin, atawasha moto mjini Houston pamoja na vitongoji vyake katika fashion show ya mavazi yake ya kukata na shoka siku ya Krismas December 25, 2010.

Fashion show hiyo kabambe itaambatana na muziki mzito utakaoporomoshwa na Dj Luke kutoka DC & Dj Rex Houston.

Njoo ujionee vipaji na usanii katika fani ya mavazi pamoja na burudani ya muziki wa aina zote old schoo,Hip hop,Reggae,Bolingo,Kwaito,Chalanga,Soca Rhumba and Zouk.

Karibu upate ile kitu Roho inapenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...