

Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha miller Guineone Fresh leo imetangaza rasmi kuwasili kwa kundi la Kode Reds Djs toka nchini Kenya kwaajili ya kutoa burudani kwenye usiku maalum wa familia ya Miller
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Meneja wa bia ya Miller Bi Victoria Kimaro alisema burudani hiyo itafanyika katika ukumbi wa club Sun Cirro uliopo Shekilango jijini Dar es salaam usiku wa jumatano ya Dec 08,2010 ambayo itakuwa usiku wa sikukuu ya kusherekea uhuru wa Tanganyika
Alisema usiku huo kutakuwa burudani za aina mbalimbali zitakazoongozwa na kundi zima la Kode reds Djs toka nchini Kenya ambapo kwa Tanzania mwanamuziki wa kizazi kipya Ambweni Yesaya “AY”atatoa burudani kwa kipindi chote
Kwa Upande wake TBL Brand Manager, Consolata Adam amesema maandalizi yote kwaajili ya tamasha hilo yamekamilika kwa kiwango kikubwa ikiwa ni pamoja na kuwawasili kwa kundi la Kode Reds Djs toka nchini Kenya“maandalizi yote kwaajili ya usiku wa miller yamekamilika kwa kiwango kikubwa na pamoja na burudani toka kwa kundi la Kod reds na AY lakini pia kutakuwa na DJs wa ndani ya Tanzania ambapo pia kutakuwa na burudani zenye ladha mchanganyiko zitakazowafanya watu watakaofika siku hiyo kukidhi mahitajio yao”
Alisema pamoja na wale watakaoingia ukumbini kwa utaratibu wa kawaida lakini kuna wanafamilia ya Miller waliopatiwa kadi maalum za mialiko wakati wa promosheni za miller hivyo kuwataka kujiandaa vilivyo kuhudhuria na kuwataka kukumbuka kufika ukumbini wakiwa na kadi zao.
Alisema lengo la Burudani hiyo ni kuweka utaratibu wa kuwakutanisha jamii nzima inayotumia kinywaji cha Miller na kukaa pamoja na kufurahi kwa pamoja kama wanafamilia”nawaomba wakazi wa Dar es Salaam na wapenda burudani kiujumla kuhudhuria kwa wingi pale Club Sun Cirro iliyopo Shekilango ili kwa pamoja tuweze kupata burudani na kufurahi kwa pamoja kwani aina ya burudani itakayokuwepo ni nadra sana kupatikana pahala pengine popote “alisema Bi Adam.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Meneja wa bia ya Miller Bi Victoria Kimaro alisema burudani hiyo itafanyika katika ukumbi wa club Sun Cirro uliopo Shekilango jijini Dar es salaam usiku wa jumatano ya Dec 08,2010 ambayo itakuwa usiku wa sikukuu ya kusherekea uhuru wa Tanganyika
Alisema usiku huo kutakuwa burudani za aina mbalimbali zitakazoongozwa na kundi zima la Kode reds Djs toka nchini Kenya ambapo kwa Tanzania mwanamuziki wa kizazi kipya Ambweni Yesaya “AY”atatoa burudani kwa kipindi chote
Kwa Upande wake TBL Brand Manager, Consolata Adam amesema maandalizi yote kwaajili ya tamasha hilo yamekamilika kwa kiwango kikubwa ikiwa ni pamoja na kuwawasili kwa kundi la Kode Reds Djs toka nchini Kenya“maandalizi yote kwaajili ya usiku wa miller yamekamilika kwa kiwango kikubwa na pamoja na burudani toka kwa kundi la Kod reds na AY lakini pia kutakuwa na DJs wa ndani ya Tanzania ambapo pia kutakuwa na burudani zenye ladha mchanganyiko zitakazowafanya watu watakaofika siku hiyo kukidhi mahitajio yao”
Alisema pamoja na wale watakaoingia ukumbini kwa utaratibu wa kawaida lakini kuna wanafamilia ya Miller waliopatiwa kadi maalum za mialiko wakati wa promosheni za miller hivyo kuwataka kujiandaa vilivyo kuhudhuria na kuwataka kukumbuka kufika ukumbini wakiwa na kadi zao.
Alisema lengo la Burudani hiyo ni kuweka utaratibu wa kuwakutanisha jamii nzima inayotumia kinywaji cha Miller na kukaa pamoja na kufurahi kwa pamoja kama wanafamilia”nawaomba wakazi wa Dar es Salaam na wapenda burudani kiujumla kuhudhuria kwa wingi pale Club Sun Cirro iliyopo Shekilango ili kwa pamoja tuweze kupata burudani na kufurahi kwa pamoja kwani aina ya burudani itakayokuwepo ni nadra sana kupatikana pahala pengine popote “alisema Bi Adam.
Victoria what's up? Looking good as always....i'm proud of u.
ReplyDeletemmmh huyo Victoria bombaaa.... miller itaanza kuuza kwa mwendo huu
ReplyDeletebig up Vicky , am prooud of u uncle... , keep it up baby girl you lookin good.
ReplyDeleteUncle Lu