Ankal!
Naomba uniazime sh 300,000 tu nina shida nazo hasa kesho...Nitarudisha baada ya Ijumaa ya next wk! Help me plz, i know u hav them. Alisikika mlevi mmoja akiiomba mashine ya ATM saa 6 usiku leo!! Khaa! Ulivyostuka ulifikiri nakuomba wewe, ukaanza kuandaa fiksi za kunitolea nje.
I wish u happy New Year 2011!
From Mdau
Sent from my BlackBerry® wireless device

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...