Ndugu Michuzi.
Kwa niaba ya kanisa zima la Umoja,ninapenda kuwakaribisha watanzania wote na watu kutoka mataifa mbali mbali ya Afrika katika ibada ya kwanza ya mwaka wa 2011.
Ibada hii maalumu ya kuanza mwaka itaanza saa kumi na moja na nusu mpaka saa moja na nusu jioni (5:30pm-7:30pm).Katika ibada hii mchungaji Absalom Nasuwa atakuletea ujumbe maalumu wa neno la Mungu utakaokuongoza katika mwaka mzima wa 2011.
Maombi mbali mbali yatafamywa kwa kila moja wetu kama silaha ya kukulinda na hila mbali mbali za shetani. Kumbuka "Yesu Kristo ni yeye yule jana na leo na hata milele"
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa namba hizi:
214 554 7381, 682 552 6402, 214 773 6697
Mahali:
Kanisa la Umoja International Outreach;
6411 LBJ FREEWAY
DALLAS TX,75240
Mungu awabariki na karibuni wote
Umoja Church.
Kwa niaba ya kanisa zima la Umoja,ninapenda kuwakaribisha watanzania wote na watu kutoka mataifa mbali mbali ya Afrika katika ibada ya kwanza ya mwaka wa 2011.
Ibada hii maalumu ya kuanza mwaka itaanza saa kumi na moja na nusu mpaka saa moja na nusu jioni (5:30pm-7:30pm).Katika ibada hii mchungaji Absalom Nasuwa atakuletea ujumbe maalumu wa neno la Mungu utakaokuongoza katika mwaka mzima wa 2011.
Maombi mbali mbali yatafamywa kwa kila moja wetu kama silaha ya kukulinda na hila mbali mbali za shetani. Kumbuka "Yesu Kristo ni yeye yule jana na leo na hata milele"
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa namba hizi:
214 554 7381, 682 552 6402, 214 773 6697
Mahali:
Kanisa la Umoja International Outreach;
6411 LBJ FREEWAY
DALLAS TX,75240
Mungu awabariki na karibuni wote
Umoja Church.
Ni yeye yule yule jana kesho hata milele...ni kweli..hata wewe ni yule yule toka ulipozaliwa..na mpaka sasa..na kufa kwako na mpaka utakapofufuliwa..hutobadilika..!yesu hatobadilika..na wala hakubadilika kama imani zengine zinavyodai..ni yuleyule mpaka atakapokufa na atakapofufuliwa na mungu..!
ReplyDeleteAmeen! ukitaka ndivyo ilivyo usipotaka ndivyo ilivyo,,.!