Mfalme Mswati III wa Swaziland
Hawa ndiyo wadada (wachumba?) ambao Mfalme Mswati anachagua mmoja wao kuwe mkewe. Kwa haya na mengine dizaini hii kibao BOFYA HAPA kwa Kipandula

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 32 mpaka sasa

  1. wanaume wanashindwa kutuelewa kwa ajili ya mambo kama haya. Tunaolewa kwa ajili ya vitu au

    ReplyDelete
  2. mmmmmh! vitu hivyo ni vya kula bila kumenya! aiseeeh!

    ReplyDelete
  3. Siamini michuzi umeweka picha hii kwenye blog yako.

    ReplyDelete
  4. dah! mimi naomba contact za huyo dada wa mwisho kutoka kulia, kama mswati atamuacha basi mimi niko tayari kuchukua jumla jumla

    ReplyDelete
  5. Nasubiri tu comment za kina nanihino nichekeee!!!

    ReplyDelete
  6. Nimeupenda sana huu utamaduni natamani ungekuwa africa nzima, hivi wale wamama wanoko wanajidai wana maadili wanachonga tukivaa vimini, je tungekuwa tunajiachia namna hii?? mtajiju kama we ni sanamu la michelin nenda gym uwe kipotabo, namna hii unafaa kwa matumizi ya binadamu.

    ReplyDelete
  7. Ningekuwa mimi ni Mswati III ningemchagua huyo wa tatu toka kulia, yuko bomba kichizi.

    ReplyDelete
  8. Ankal umeharibu saumu yangu.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  9. hawa si wazinzi. wengine ni wasomi humo.

    ReplyDelete
  10. ni bora kuliko umiss ulotokea magharibi

    ReplyDelete
  11. Wewe unayesema hawa si wazinzi, wengine ni wasomi una maana ipi? Uzinzi na usomi vinahusiana vipi? Uzinzi ni tabia ya kibinadamu bila kujali elimu ya mtu. Nenda pale UD Hill campus(Chuo Kikuu Cha Dar) alafu uliza kuna ma professor wangapi pale ni wazinzi alafu njoo hapa kwenye blog utoe jibu.

    ReplyDelete
  12. WOTE HAO NI BIKRA. HAKUNA AMBAE KAGUSWA KWA TAARIFA YENU.

    ReplyDelete
  13. wengine wakisha olewa wanaanza kutembea na wanaume wengine. mbona hao wake zake wanatembea na watu wengine. hivi majuzi huyo king akiwa abroad mke wake mmoja alikutwa na one of his ministers. hii si mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea.

    ReplyDelete
  14. anonn wa Mon Dec 06, 10:07:00 PM, whats your point? so what kama wote ni bikira?

    ReplyDelete
  15. watu wenye mentality kama ya anon wa Mon Dec 06, 11:07:00 PM wanasikitisha sana. Yaani tu kwa kuwa mmoja wa wake wa huyu mfalme amefumaniwa basi conclusion yake ni kuwa wengi wao wakishaolewa hutembea na wanaume wengine.

    Hivi ni sawa na kusema kwa kuwa katika hoteli za kigeni zanzibar pamejaa malaya wa kibara basi wanawake wote wakibara ni malaya. Acheni ku-generalise watu bwana!!!!

    ReplyDelete
  16. hawa wapuuzi wanatunza bikira zao ili zitolewe na mswati.Mtaani wanabania

    ReplyDelete
  17. hang on hang on! this occasion is not for the king to choose a wife but a day when virgin girls celebrate their virginity and pay homage to the queen mother. The king sometimes choose a wife but the purpose of whole occasion is NOT for the king to choose a wife.

    ReplyDelete
  18. ASTAKAFULA WALAHI!! Hivi inakuwaje kupata glini kadi za Swazi? Nataka nikajikomboe mimi kwenye chagulaga.

    ReplyDelete
  19. wapili kushot ni mtamu sana nyie mnaosema wengine macho yenu mabovu

    ReplyDelete
  20. huo unyanyasaji wa kijinisia

    ReplyDelete
  21. wananume wote mnaotaka kuhamia swazi naomba niwajulishe ni moja ya nchi inayoongoza kwa ngoma haya kimbilieni uko na vidude venu vimesimama mtalijua jiji hahahaa ankali usibanie tafadhali

    ReplyDelete
  22. Hakuna unyanyasaji kwani wametaka wenyewe kutunguliwe na king ndio wape pesa'mali na masifa juu. kama ni mwanamke anayejiheshimu anataka kufanya kazi na kuishi kwa uwezo wake bila kupenda tamaa za maisha ya juu. basi hana haya ya kusubiri huu upuuzi. wengi wao hata bongo wanawake wapenda mteremko na uvivu juu hawataki kazi. kila siku kula ma-hotel ndio wanataka kupika au responsiblity za ndoa hawazijui ila ndoa wanataka sana Eti kuondoa nuksi. Hapo ni uvivu. na tamaa za maisha ya juu via short cut

    ReplyDelete
  23. Wanaosema huu utamaduni ni unyanyasaji mimi nipingana nao kwa sababu hawa wasichana hawalazimshwi kuja hpa. Wanakuja wenyewe ni uhuru wao.

    ReplyDelete
  24. Mimi sioni jambo ya kujivunia zaidi ya ujinga. Mtazamo wa waliofinyu wanadhani huku mfalme anaweza kuwashulikia haja zao za kitandani. lakini na uhakika wa asilimia kubwa wengi wanakuwa wanachukuliwa na watu wa pembeni baada ya muda kupita. Nchi yake imejaa madini na style hii ndio aliyoandaliwa na nchi za magharibi aendle kustarehe na watamstarehesha ili waendelea kuinyonya nchi yake.

    ReplyDelete
  25. We michuzi, hata matiti ni uchi pia. Yafiche!

    ReplyDelete
  26. mmmm,mie namtaka huyo mwenye ziwa six okuloku mie mwenzenu gonjwa langu ziwa

    ReplyDelete
  27. Huyu Mswati ni Mtu wa aina gani, yeye kila mwanamke mzuri ataoa, je anataka kuwa kama akuku danger, aache historia ya kuwa na wanawake wengi? nadhani tamaa yake ni ngono ya kuonja tu na kuacha. wandugu hebu nisaidieni.

    ReplyDelete
  28. Ni afadhali yeye anaoa hadharani kuliko nyie wanaume wa bongo mnaooa gizani wanawake wengi waliojulikana mnakuja kukwaa ngoma, mnaanza kusingizia wake zetu, kumbe nyie ndo mnaileta ndani> kumbu kila mwanamke unayelala naye kiblia ni mke wako. sasa jiulize umeoa wake wangapi mpaka kufikia hapo ulipo?

    ReplyDelete
  29. Jamani watuma mada napenda niwaambie, someni neno la Mungu sana mtaona jinsi gani ulimwengu umekaribia kuisha, jiandaeni kwa ajili ya ufalme wa Mungu, acheni kucheza na Dunia hii ya dhambi, kila mtu aoe mke mmoja kama Mungu alivyoumba Adam akamuumba na Hawa wote wawili wakawa mwili mmoja.

    ReplyDelete
  30. ENYI WATOA MAONI KILA MTU NA AWE NA MKE WAKE MWENYEWE, MSIMUIGE MSWATI KUOA WAKE WENGI NGOOOOOMA? OHOOHO. KAAAA CHONJO

    ReplyDelete
  31. MMjamani mm nitaoa wawili tu wannitosha na wote nitawaoenda

    ReplyDelete
  32. duh! kazi kweli kweli,maana naona wapili toka kushoto ndio bomba kuliko wote alafu naona watatu ndio bomba mara wa tano yaani nashindwa kuchagua.kama ningekuwa mswati ningebadilisha sheria niwe naoa wanne kwa mpigo kila mwaka badala ya mmoja.Kwa sheria ya sa hivi huyu jamaa anawakati mgumu,tena sana,yaani mmoja tu!!aiseee!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...