Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania Ndugu Fadhili Manongi akiteta jambo na Waziri wa Uchukuzi,Mheshimiwa Omari Rashid Nundu katika maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Usafiri wa Anga yaliyofanyika katika Kiwanja cha Kimataifa cha Julius Nyerere.Picha na Benjamin Sawe-Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. manongi ni wa kulia au kushoto?

    ReplyDelete
  2. Mzee Nundu tunasubiri mshikemshike pale bandarini na TRA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...