Wadau wakipozi katika mti wa Krisimasi
wakati wa mnuso huo jijin Mysore

Wadau katika mnuso wa Krismasi Mysore
Mnuso umenoga Mysore siku ya Krisimasi
Msosi wa nguvu
Wadau wakila pozi kwenye mnuso huo
Wadau wa Mysore Oye!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. huyo msichana wa kwanza kushoto waliokaa mwenye sketi ya chui chui jamani amenikonga moyo. michuzi una contact za hawa jamaa?
    Mdau Holland.

    ReplyDelete
  2. WEWE 9:58AM HUJANPENDA HUYO DADA UMEONA MAZIWA UMECHANGANYIKIWA...WANAUME BWANA...

    ReplyDelete
  3. Jamani India kuna watoto wazuri! Karibuni Russia!

    ReplyDelete
  4. Ankal, huyo msichana kwenye picha ya mwisho aliyefaa white top na black skirt ni wife material. Mwanamke ambaye ni wife material utamjua tuu kwa pozi zake. Ankal mwambie naomba contacts zake for some stimulating conversations. Unaweza kunitumia hapa: mavumbi2001@yahoo.com . Hao wengine nao wazuri ila wamekaa ki-girlfriend zaidi.

    Madau Ukerewe

    ReplyDelete
  5. wow! kudos for the mysorians!manajitahidi sana.
    we open doors for you guyz.
    been there 1994-1997.NZINGATIA MASOMO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...