Juu na Chini ni Baadhi ya wakazi wa mji wa Tunduma na maeneo jirani wakiwa wanatembea kwa miguu jana baada ya kutokea kwa msongamano mkubwa wa malori ya kwenda na kutoka nchi jirani ya Zambia. Msongamano huo ulitokana na zoezi la ukaguzi wa mizigo katika eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia lililokuwa likiendeshwa na maafisa wa forodha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...