The Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' (pichani) wataukaribisha mwaka mpya leo katika kiota chao cha kila siku cha Salender Bridge Club jijini Dar, na kesho pia wataendelea na 'Kinyaunyau' katika kuadhimisha mwaka 2011. Kwa mujibu wa kiongozi wa bendi hiyo kongwe, Waziri Ally, Njenje imebidi waduarike mkesha wa mwaka mpya na kuendelea na libeneke kesho kutokana na maombi ya wapenzi wa muziki wa kistaarabu
Home
Unlabelled
Njenje kutumbuiza Salenda Club leo na kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tanzania ni nchi yangu na kilimanjaro band ni band inayonipa burudani popote ninapokuwa. Happy new year wana njenje na washabiki wote wa njenje
ReplyDeleteHongera wana Njenje kwa kazi yenu nzuri na mshikamano wenu katika kazi,nyinyi ndio mfano mzuri wa wanamuziki kukaa pamoja bila kuyumba kwa muda mrefu,nashauri pia bendi nyinginezo ziige mfano huu.Nawatakia heri ya mwaka mpya na mafanikio mema.Salaam pia zinatoka Tokyo(Akasaka)kwenye ile club yenu "Penta house)
ReplyDeleteAbbu Omar Prof.Jnr.Tokyo,Japan.