TAMKO LA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI KUHUSU MGOGORO WA NISHATI YA UMEME NA KUSUDIO LA KUWASILISHA HOJA BINAFSI BUNGENI

UTANGULIZI
Karibuni wanahabari. Leo nimeamua kuwaomba kama wanahabari na watanzania wazalendo tujadili hatma ya Taifa letu ambalo utaratibu wa kuingizwa gizani na mgogoro wa nishati ya umeme unaelekea kukomaa na kuwa sehemu ya maisha ya watanzania.
Habari kamili

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Mtukufu,
    Nyie si mlikuwa na Helikopta?
    Acha mjadala, wewe lete umeme tu!
    Si mliahidi siku 100 tu Nchi hii ni raha mustarehe?

    ReplyDelete
  2. Mheshimiwa,..Nimesoma hoja yako...wasiwasi wangu ni kwamba hoja yako haitaleta mabadiliko yeyote ya maisha yetu sisi wananchi wa kawaida.....tangu nizaliwe sijawahi kuona kwamba kuna ishu bungeni inayoleta mabadilio ya maisha yetu...ni hadithi tu kama nyingine...am sorry for that...

    ReplyDelete
  3. we Anymous hapo juu (08:35:00am) huyo ni Mbunge wa NCCR sio Chadema. Pili, wataletaje maendeleo na nchi hawajachukua wao. Ovyooo

    ReplyDelete
  4. Wana macho lakini hawaoni. Wana masikio lakini hawasikii. Mh Kafulila, unahangaikia nini - Acha wafu wawazike wafu wao.

    ReplyDelete
  5. watu wengine wanaropoka kama wamekunywa pingu....aibu sana watu wazima hamfikirii nini mnaandika.

    ReplyDelete
  6. Wewe anonymous wa kwanza shule ulisoma wapi?, nyie ndiyo huwa mnafeli mitihani wakati mtihani ulikuwa rahisi kisha mnasingizia kuonewa kumbe hamkufuata maelekezo!!!!!!!!!!!
    Kwako Mh. Kafulila, njia uliyoamua kupitia haitakufikisha unakotaka kwenda misumari njiani ni mingi sana utakwama tu, hoja yako itazimwa kwa KURA, si unajua wako wangapi? Kwa vile wewe ni mwanasiasa tumia njia nyingine bila shaka unaijua. Ila hii umeshindwa kabla ya kuanza.

    ReplyDelete
  7. Nategemea hoja yako itachakachuliwa, si unajua wako wengi hao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...