Home
Unlabelled
vijana wateuliwa kuongoza jumuiya ya watanzania ugiriki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MBONA NIKIANGALIA PICHAS KWENYE TOVUTI YAO NAONA WOTE NI WAZEE.....VIJANA WAKO WAPI??
ReplyDeleteeeh bwana eeh, huyo mwenye kofia picha ya juu ni maalim matambazi? au macho yamenichanganya?
ReplyDeleteKuteuliwa hakuna kura zinazopigwa,hivyo hawa vijana wamechaguliwa.
ReplyDeleteOK KUMBE NA DR.SHEIN MBONA KABLA YA KUHUTUBIA BAADA YA KUTANGAZWA KWA KURA WALISEMA RAIS MTEULE INA MAANA NA YEYE HAJACHAGULIWA?
ReplyDeleteNdie mALIM MATAMBAZZ HUYO
Sista mwenye kimini kapata keyo gani?
ReplyDeleteKweli sifa za abroad zisikie tu, kwa macho twaona kinyume. duh
ReplyDeletehpo unaejiita KILO uninivunja mbavu ni keli hamna vijana ni wazee tu labda maisha magumu
ReplyDeleteWatanzania mnawrite off watu mapema sana. Nyie kwenu kijana ni 16 and below ukiwa in your 20s basi wewe baba, 30s babu sishangai life expectancy ni 40 yrs old ...ukiwa in your 50s wewe unaitwa mchawi...
ReplyDeletehao wote hapo vijana kwa vile kwenu mtu akionekana hivyo basi ana miaka 30 na...haoa hap hamna aliyezidi 25 basi kwa taarifa yenu