Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare akiamkabidhi zawadi mtoto yatima Rahma wa kituo cha Umra kilichopo Magomeni ,kwenye kampeni ya share & care itakayofanyika Tanzania nzima kwa mwezi huu wa Decemba,aliyembeba mtoto Meneja udhamini wa kampuni hiyo Rukia Mtingwa.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Edwin Temba akikabidhi sabuni na vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha kuwama kilichopo sinza kwenye viwanja vya leaders club kwenye kampeni ya share & care iliyoandaliwa na Vodacom Foundation.
kwa picha zaidi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...