




marathon (km 21) ndugu Fabiani Joseph akiingia kwenye uwanja wa babati. Washindi walikuwa kama ifuatavyo
Wanaume:-
Fabian Joseph
Dickson Marwa
Msenduki Mohamed
Ezekia Japhari
Ismail Juma
Wanawake:-
Restituta Joseph
Zakia Mrisho
Jackline sakilu
Zaituni Jumanne
Catherine Irangi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...