Mshindi wa kwanza kwa upande wa wanaume kwa kilometre 21 Vodacom babati half Marathon ndugu Fabian Joseph akipokea kikombe kutoka kwa mgeni rasmi mh. Claudio Bitegeko Regional Admistrative Secretary wa mkoa wa Manyara.Washiriki wa mashindano ya Vodacom babati half marathon wakiwa tayari kwa kuanza mashindano katika ofisi za Manyara internet café.




Burudani zilikuwepo
Mshindi wa kwanza wa Vodacom babati half
marathon (km 21) ndugu Fabiani Joseph akiingia kwenye uwanja wa babati. Washindi walikuwa kama ifuatavyo
Wanaume:-
Fabian Joseph
Dickson Marwa
Msenduki Mohamed
Ezekia Japhari
Ismail Juma

Wanawake:-
Restituta Joseph
Zakia Mrisho
Jackline sakilu
Zaituni Jumanne
Catherine Irangi.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...