Mhariri Mkuu wa Jambo Leo, Boniface Wambura (wa pili kushoto),ambaye ameteuliwa kuwa Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), akikabidhiwa zawadi ya kompyuta ndogo iliyotolewa na uongozi wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited (JCTL), wakati wa hafla ya kumuaga Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa JCTL, Juma Pinto, Meneja Mkuu, Ramadhani Kibanike, Mkurugenzi, Benny Kisaka na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Perfect Solutions, Evance Aveva ambaye ni Mshauri wa JCTL.
Home
Unlabelled
Wambura aagwa na Jambo Leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
kutoka mhariri mkuu hadi afisa habari, jamani mambo.
ReplyDeleteGazeti limemsadia sana slaa kupata kura.tunakushukuru Wambura na Kisaka kutusaidia kwenye kampeni sisi Chadema.
ReplyDelete