Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ninapendeza sana kuona wasanii toka TZ wanakwenda nje ya mpika ya TZ na hata Afrika kuonyesha vipaji vyao. Ila mm sipendi hii tabia ya wasanii kujibandika majina ya kizungu oohh!! berry black mala black berry tumieni majina yenu halisia. Halafu kwenye maojiano kama hayo ongeeni point siyo pumba ooh!! mademu,warembo ndicho kilichokupeka huko au?? Kaa ukijua hapo unaitangaza nchi yako.....

    Mdau DSM TZ

    ReplyDelete
  2. BERRY BLACK KUNA WEAKNESS KUBWA AMBAYO INABIDI UJIREKEBISHE NAYO KWA AJILI YA FUTURE SUCCESS YAKO,UNAPOKUJA ABROAD SPECIFIC EUROPE AU USA,AVOID KABISA MAMBO YA UZANZIBAR,HUKU WATU WOTE WANAISHI KAMA WATANZANIA,NA KWA WALE AMBAO WATATAKA KUITAMBULISHA ZANZIBAR WANATUMIA "MTANZANIA KUTOKA ZANZIBAR",KWA HIYO HUKUWA NA SABABU YA KUSEMA NIMEKUJA KUITANGAZIA ZANZIBAR.
    MDAU ISTAANBUL

    ReplyDelete
  3. Nampongeza sana bwa' mdogo kwa hatua hiyo na aendelee zaidi na zaidi. Na naunga mkono idea ya wasanii wetu kutumia majina yao halisi. Huwa inapendeza sana. Hebu angalia jina kama Mrisho Mpoto ambavyo limepata umaarufu nje na ndani ya nchi. Hata 'Afande' Sele pia linapendeza na lishakuwa maarufu sana japo halina vionjo vya kizungu.

    Kwa upeo wangu mdogo naona kama Zanzibar ni maarufu huko duniani kuliko Tanzania. Hivyo ukijitambulisha kama mzanzibari unatambulika kwa urahisi zaidi...I guess.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...