
Mwanamuziki Mahiri wa bendi ya African Stars "Twanga Pepeta" Charles Gabriel (Charles Bab) pichani amefiwa na mama yake mzazi Asha Ramadhani Kilolege.
Msiba huo umetokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 29-01-2011 katika Hopsitali ya Mwananyamala baada ya kuugua kwa muda mfupi akisumbuliwa na ugonjwa wa Malaria na Kisukari.
Mazishi yanataraji kufanyika katika Makaburi yaliyopo kwenye mashamba ya familia yaliyopo Chalinze kwa mwarabu.
Marehemu ameacha watoto 11.
Tunamuombea kwa Mungu aiweke roho Marehemu mahala pema peponi
-Amin
Msiba huo umetokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 29-01-2011 katika Hopsitali ya Mwananyamala baada ya kuugua kwa muda mfupi akisumbuliwa na ugonjwa wa Malaria na Kisukari.
Mazishi yanataraji kufanyika katika Makaburi yaliyopo kwenye mashamba ya familia yaliyopo Chalinze kwa mwarabu.
Marehemu ameacha watoto 11.
Tunamuombea kwa Mungu aiweke roho Marehemu mahala pema peponi
-Amin
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...