Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. TAMBARARE NINI SASA HAPO?
    MDAU PARIS

    ReplyDelete
  2. Halmashauri ya Jiji La Dar watengeneze njia ya watembeao kwa miguu kwa kutumia vitofali toka Posta ya Zamani mpaka Feri. Maana vivuli vya mikungu na Muarobaini vipo, lakini kwa vile maelfu kwa maelfu ya wakazi wa Kigamboni na wafanyakazi wa serikali hutembea kwa miguu toka Posta hadi Feri, basi kuzuia mmomonyoko wa ardhi na kupendezesha Jiji , Meya wa Jiji la Dar aanze mradi huo kuifanya Dar-es-Salaam tambarare angalau kipande hicho cha 'pavement'.
    Mdau
    Kivukoni.

    ReplyDelete
  3. Yaani hakuna milima na mabonde nadhani ndo alichomaanisha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...