Egyptian state television reports Egyptian President Hosni Mubarak has named a vice president for the first time since coming to power 30 years ago, choosing his intelligence chief and close confidant Omar Suleiman (pictured), according to the Associated Press. For minute to minute developments in Egypt...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kinachotakiwa hapa ni huyu dikteta Mubarak,familia yake na viongozi wote wanaomuhusu kutokuwepo madarakani na ikibidi watoke kabisa nje ya nchi,hii ni kutaka kujenga serikali yenye mtazamo mpya na isiyo muhusisha mtu yeyote kutoka serikali yake,sasa tunashangaa anavyoharakisha kuchagua mtu wa kumuachia !!!Hii yote kutaka asije akafunguliwa mashtaka,Madikteta woote wa Africa mkae mkijua huu ndio wakati wa mabadiliko na watu wamechoshwa na ubabaishaji,ufisadi na kukwamia madarakani,bado bongo !!dawa ya mafisadi ipo jikoni inachemka.Mungu ibariki Africa.
    mtoa maini Japan.

    ReplyDelete
  2. Bwana Michuzi, this will not save the Mubarak tyranny. The octogenarian despot has overstayed his welcome, and it's time he let go of the reins of power he has held for three decades. Huyu jamaa aige mfano wa Ben Ali ili Wamisri waweze kufungua ukurasa mpya wa demokrasia na maendeleo baada ya kukandamizwa kwa miongo kadhaa.

    Mdau, Dar es Salaam

    ReplyDelete
  3. Huyu Ommar Suleman ajue kuwa yeye ndiye mbuzi wa kafara !!Cha kufanya haapo ni aanze kuingia mitini kabla wananchi waliojawa na usongo wa nchi yao kumtia mikononi,litamchwea sasa hivi mambosiyo mchezo Egypt !!!
    mdau bongo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...