JK akiwasalimia wanafunzi wa darasa la saba katika shule Mpya ya Msingi Msoga iliyojengwa kwa msaada wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China. Rais Kikwete alikagua madarasa hayo muda mfupi baada ya kukabidhiwa na kaimu Balozi wa China Bwana Fu Jijun huko katika kijiji cha Msoga,wilayani Bagamoyo leo. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
Home
Unlabelled
JK katika shule mpya ya msingi kijijini Msoga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Can we adopt a Chinese Primary School Syllabus?????
ReplyDelete