Baadhi ya visura wataoshindania taji la Kisura wa
Tanzania wakiwa Kiromo View Resort huko Bagamoyo leo
Tanzania wakiwa Kiromo View Resort huko Bagamoyo leo
Kisura Kipuyonde Laiboni kutoka Monduli akiwa na mchumba wake bwana Paulo katika hoteli ya Kiromo View Resort, Bagamoyo, mkoa wa Pwani ambako kambi ya Kisura wa Tanzania imeanza rasmi leo. Mrembo huyu ameingia kambini akiwa na mchumba wake huyo na kaka yake ambao wamekuja toka Monduli kuona kama kuna usalama ama la...
I don't think it's a good idea to pluck someone straight out of that environment and throw them into a completely new/strange/foreign one such as this one. I feel bad for the poor girl. She looks completely out of place. Praying she can handle all this pressure. Best of luck.
ReplyDeletekama flaviana
ReplyDeleteMashindano ya urembo yamekuwepo katika tamaduni zote hapa duniani. Kila utamaduni umekuwa na vigezo vyake na namna yake ya kupima urembo. Makabila yetu nayo yana jadi hizo huko tulikotoka. Wale waliosoma kitabu cha Okot p'Bitek kiitwacho "Song of Lawino," wataelewa kirahisi ninachosema.
ReplyDeleteDada huyu wa ki-Masai anatufundisha mambo ya msingi. Analeta changamoto nzito kwa kuja akiwakilisha urembo wa ki-Masai. Kwa mtazamo wangu, fundisho hapa ni kwamba tunapaswa kujitambua asili yetu. Kama ni mashindano ya urembo, tutumie vigezo vya kwetu, si vya kuiga.