Pole kwa majukumu ya kuifahamisha jamii nini kinachoendelea katika dunia yetu,Naitwa Augustine Mgendi (Mwana wa Afrika) napenda kukufahamisha kuwa nami ni mmoja wa wana mtandao wa blog lengo likiwa ni kuifahamisha jamii nini kinachotokea sehemu huska. Napenda kuchukua nafasi hii kupitia blog yako maarufu nami kuitangaza blog yangu ya
www.mwanawaafrika.blogspot.com
Kazi njema Ankal
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...