MAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMED GHARIB BILALI AKIKUTANA NA UJUMBE WA WAWEKEZAJI KUTOKA KAMPUNI YA SICHUAN HONGDA AMBAO NDIO WALIOSHINDA ZABUNI YA KUENDELEZA MIRADI YA MAKAA YA MAWE YA MCHUCHUMA PAMOJA NA CHUMA KULE LIGANGA.

MAKAMU WA RAIS AMEWATAKA WAWEKEZAJI HAO KUHAKIKISHA KUWA MIRADI HIYO INALETA TIJA KWA TAIFA LA TANZANIA. AIDHA DR BILAL AMESIFU JITIHADA ZINAZOFANYWA NA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO-NDC KATIKA KUENDELEZA MIRADI MBALIMBALI KWAAJILI YA UCHUMI WA NCHI NA KUWATAKA WAWEKEZAJI HAO KUTUMIA FURSA HIYO KUTEKELEZA KWA UFANISI MIRADI HIYO

KWA UPANDE WAKE MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO DR CHRISANT MZINDAKAYA AMEMWELEZA MAKAMU WA RAIS KUWA KWA SASA MAJADILIANO YANAENDELEA KWAAJILI YA KUANZA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI HIYO NA PINDI ITAKAPOKAMILIKA UTEKELEZAJI UTAANZA MARA MOJA

KAMPUNI YA SICHUAN HONGDA NI MIONGONI MWA MAKAMPUNI YALIYOOMBA ZABUNI YA UETEKELEZAJI WA MIRADI HIYO KATI YA MAKAMPUNI 42 NA KUFANIKIWA KUSINDA ZABUNI HIYO.

NA NEEMA MBUJA

AFISA UHUSIANO MWANDAMIZI-NDC


MAKAMU WA RAIS AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAWEKEZAJI NA VIONGOZI WA NDC BAADA YA KUKUTANA NAO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...