Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwanza Dk Meshack Messi akizungumza na Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Issaria Mangalili na Meneja Maabara ya Mkemia Mkuu wa Kanda ya Ziwa Mara Baada ya Ufunguzi wa Warsha ya Utekelezaji kanuni za udhibiti wa kemikali Zinazotobowa Tabaka la Ozon Uliofanyika Ukumbi wa BoT Mkowani Mwanza
Baadhi ya Washiriki wa Warsh Wakimsikiliza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwanza,Dk.Meshack Messi wakatualipokuwa akifunguwa warshya Wasimamizi wa Sheria inayohusu Utekelezaji Kanuni za Udhibiti wa Kemikali zinazomongonyoa Tabaka la Ozon iliyofanyika kwenye Ukumbi wa BOT Mkowani Mwanza Jana{Picha na Ali Meja}

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...