Pichani ni Hayati Mzee Gisi Mwamfupe enzi za uhai wake, Marehemu ni baba mzazi wa mpiganaji Richard Mwaikenda, mpiga picha mkuu wa gazeti la JamboLeo. Amefariki juzi na anategemewa kuzikwa leo kijijini kwake Kandete, Mwakaleli, Tukuyu, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Amefariki kwa matatizo ya moyo akiwa na umri wa miaka 66.
Pichani ni Hayati Mzee Gisi Mwamfupe enzi za uhai wake, Marehemu ni baba mzazi wa mpiganaji Richard Mwaikenda, mpiga picha mkuu wa gazeti la JamboLeo. Amefariki juzi na anategemewa kuzikwa leo kijijini kwake Kandete, Mwakaleli, Tukuyu, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Amefariki kwa matatizo ya moyo akiwa na umri wa miaka 66.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...