Familia ya Ezekiel Mukundi wa Reading-United Kingdom, inasikitika kuwatangazia msiba wa Magesa Mwijarubi (Kaka ya mke wake - HAPPY) kilichotokea alfajiri ya tarehe 25/01/2011 Dar-es-salaam-Tanzania.

Marehemu ni kaka ya : HAPPY MUKUNDI na DOTTO MWIJARUBI wote wakazi wa Reading UK

Habari za msiba huu ziwafikie watanzania wote waishio Readinge na sehemu zingine za UK na ndugu wote, jamaa na marafiki popote walipo.

TEL: 0782633425; 07776423030; 07990697949

ADDRESS: 9 FRIETH CLOSE, LOWER EARLY,READING. RG6 5UY

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...