Familia ya Ezekiel Mukundi wa Reading-United Kingdom, inasikitika kuwatangazia msiba wa Magesa Mwijarubi (Kaka ya mke wake - HAPPY) kilichotokea alfajiri ya tarehe 25/01/2011 Dar-es-salaam-Tanzania.
Marehemu ni kaka ya : HAPPY MUKUNDI na DOTTO MWIJARUBI wote wakazi wa Reading UK
Habari za msiba huu ziwafikie watanzania wote waishio Readinge na sehemu zingine za UK na ndugu wote, jamaa na marafiki popote walipo.
TEL: 0782633425; 07776423030; 07990697949
ADDRESS: 9 FRIETH CLOSE, LOWER EARLY,READING. RG6 5UY
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...