Home
Unlabelled
Mti waangukia magari Dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
POLENI MLIOFIKWA NA MADHARA, NIMEIONA HIYO HALI.
ReplyDeleteANGALIZO, MITI MINGI HAPA JIJINI DSM IMESHAZEEKA KIASI KWAMBA INASUBIRI KUANGUKA SIKU YOYOTE, JAMANI WAHUSIKA TAZAMANENI HIYO HALI NA MUISHUGHULIKIE MAPEMA, MAENEO YA BARABARA YA SOKOINE, MAENEO YA IFM, TUJIHADHARI UKITIZAMA MITI VIZURI UTAIONA ILIYOKWISHA UHAI IPO MINGI INASUBIRI KUKAUKA TU NA KUANGUKA.
WAJAMENI TUIONDOE NA TUPANDE MIPYA MINGINE ILIKUWEPO HATA KABLA YA UHURU.
LEO YAMEWAFIKA HAWA, KESHO SISI.
utakaa hapo hadi utakoma wenyewe hakuna atayejali.
ReplyDeleteBima haihusiki hapo...Hilo ni kosa la jiji. Jiji ndio lilipe hata mtu akiclaim madai yake kwa bima lakini bima itarudishiwa hela zao...Hiyo ni city negligence na wala sio the act of nature..City walipe kwanza miye ningekodisha hata gari la kutumia kwa kipindi hicho gari langu likiwa bado linatengenezwa...
ReplyDeleteKama jamaa alikata bima kubwa (comprehensive) anastahili kulipwa.
ReplyDeleteIngekuwaje? kama kungekua na mtoto mdogo kwenye kiti cha nyuma akisubiria mzazi atoke kwenye hayo maduka?
ReplyDeleteVunja miti yote katikati ya Jiji haina maina yeyote