HATIMAYE aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Abdallah Mohamed Zombe, ametangaza rasmi nia yake ya kuishitaki serikali kwa hoja kuwa ilikiuka sheria na Katiba ya nchi wakati ilipomkamata na kumfungulia kesi ya mauaji.
Zombe alikamatwa mwaka 2006 na kufunguliwa kesi ya mauaji ya watu wanne lakini aliishinda serikali katika kesi hiyo.
Uamuzi huo ameutangaza baada ya siku 90 alizotoa kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Said Mwema na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumwomba radhi na kumlipa fidia ya sh bilioni tano kumalizika.
Habari Kamili tembelea Tanzania daima;
Hili linaonekana kama mzaha lakini laweza kuwa Dowans nyingine si mnajua Tanzania Shamba la bibi
ReplyDeletenini? eti alipwe fidia billion 5?
ReplyDeletehii ndo Tanzania y sasa bana,, full ze comedy!!!!!
ReplyDeleteEheeeeeeeeeeeeeee Mwananzengo Mabilioni tano yote..Weeeee acha bwana hiyo mbona walipa kodi kutakamliwa mpaka dmu sasa mara IPTL,DOWANS..Mara wa EPA..MMMMH,mara wastafu aw Afrika mashariki..
ReplyDeleteBASI BWANA NAONA TUUZE NCHI TUGAWANE KILA MTU CHAKE...
MZEEE WA BK