President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete addresses Heads of the Diplomatic Corps, Consular Missions and International Organisations during The New Year Cherry Party held at State House Dar es Salaam this evening.
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete adjusts a microphone for the Dean of the Diplomatic Corps and DRC Ambassador Juma Mpango during The New Year Cherry Party held at State House Dar es Salaam this evening
Akina mama walisusia hii shughuli, hawakualikwa au hamna diplomats and International figures wa kike Tanzania?
ReplyDeleteMdau NY.
I'M DEJECTED AND DISMAYED TO SEE OUR PRESIDENT FEASTING WHILST THE INNOCENT SONS AND DAUGHTERS OF THE SOIL ARE DYING IN ARUSHA.
ReplyDeleteTHIS IS HEART-RENDING! HE SHOULD HAVE ATLEAST ADDRESSED THE NATION AND ACKNOWLEDGE HIS CONCERN AND SORROW OF THE LIVES LOST.
I'M CHAMA CHA MAPINDUZI "DIE HEARD" AND BIG FUN OF OUR BELOVED PRESIDENT THAN ANY PRESIDENT I EVER KNOWN IN THIS WORLD...BUT MR. PRESIDENT YOU SHOULD HAVE ATLEAST COMMENTED SOMETHING.
WE ARE ALL TANZANIANS AND WE ARE BOUND TO BUILD THIS NATION... AHSANTE!!!
We anon wa kwanza unayelalamika kuhusu kina mama hebu bofya hiyo picha ya wote itafunguka kwa ukubwa zaidi halafu angali vizuri utawaona kina mama.
ReplyDeleteNi wakati muafaka kwa wenye midomo wazi kumwaga siri za nchi zao bila kujua kwamba wengine wamekuja hapo kukusanya taarifa za ki-intelijensia(kama asemavyo afande mwema).
ReplyDeleteKWELI MDAU ULIYESEMA WENGINE WAMEKUJA KUCHUNGUZA MAMBO NA KUJUWA WAIBIE VIPI NCHINI HAPA. KAMA WACHINA WAJARISILIMALI BIASHARA NDOGONDOGO, WANAIBIA WANALETWA WACHINA WAFUNGWA KUJA KUJENGA MAJENGO YANAOSIMAMIWA NA WACHINA MTANZANIA HAPATI KAZI, JAMAA WAKIFIKA WAFANYAKAZI WAO WANAWANYANGANYA PASSPORT WANATUMIKIA KAZI, WAZIRI WA MAMBO YA NDANI LAZIMA ACHUNGUZE HILI. MICHUZI BANIA. ALIYESEMA WAKINA MAMA HAWAPO ATIZAME VIZURI.
ReplyDelete