Mkurugenzi wa Kampuni ya RBP Oil & Industrial Technology (T) Ltd,Nabil Nassor Salum akikabidhi jezi kwa Mkurugenzi wa PSET,Othman Kazi, ikiwa ni sehemu ya udhamini wao katika bonanza la sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar.RBP Oil imetoa kiasi fedha taslimi,Sh. 3,000,000 ili kufanikisha bonanza hilo.Katikati ni Rais wa Kampini ya RBP Oil & Industrial Technology (T) Ltd,Mama Rahma Al - Kharoos.
Mkurugenzi wa Kampuni ya RBP Oil & Industrial Technology (T) Ltd,Nabil Nassor Salum akikabidhi jezi kwa Mkurugenzi wa PSET,Othman Kazi, ikiwa ni sehemu ya udhamini wao katika bonanza la sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar.RBP Oil imetoa kiasi fedha taslimi,Sh. 3,000,000 ili kufanikisha bonanza hilo.Katikati ni Rais wa Kampini ya RBP Oil & Industrial Technology (T) Ltd,Mama Rahma Al - Kharoos.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...