Mkuu wa wilaya ya Misenyi Kanali Mstaafu Issa Njiku (mwenye Miwani) akimuonyesha Mwenyekiti wa taasisi ya maendeleo Tanzania Julian Marcus moja ya madarasa ya shule kongwe ya msingi ya Omurushenye iliyojengwa siku chache baada ya uhuru ilivyo katika hali mbaya, shule hiyo ni moja ya miradi iliyoombewa fedha na KCDI toka TDT kwa ajili ya kukarabatiwa, shule hiyo haina sakafu na haijapigwa plasta.
Picha na Audax Mutiganzi wa Globu ya Jamii Bukoba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Are we that poor? Shul eimejengwa tangia wakati wa Uhuru tunashindwa kusakafia au kupiga plasta? I think Waafrika tuna utamaduni wa kutopenda vitu vizuri.

    ReplyDelete
  2. Mbona wakuu wa wilaya karibu wote majina yao ya kwanza yanafanana. I mean Kanali mstaafu. Hilo jina lina maana gani nifahamisheni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...