Home
Unlabelled
sikinde wakitumbuiza mzalendo pub na JD na break point,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
LadyJayDee na Sikinde nashauri mtumie uwanja huo huo wa Mzalendo Pub kutayarisha video kali itakayotengenezwa na video shooting crew wakali huku mkihakikisha sound engineer bora kabisa.
ReplyDeletemkifuata ushauri huu hapo juu basi soko la ndani na nje la muziki wa dansi utafufuka na kuzidi mara milioni nyingi.
Lady Jaydee, nakushauri urekebishe kidogo jinsi ya uimbaji wako, yaani endana na mpangilio wa wimbo, hapo ktk wimbo umeanza chorus mapema kabla ya wakati wake. alafu jaribu sana kuimba na rhythm ya wimbo. kama Ngurumo hapo anaingia na rhythm ya wimbo. ni hayo tu.
ReplyDelete