
-------------------------
Kwa kumbukumbu hii na nyinginezo kibao usikose kutembelea libeneke la mkongwe John Kitime kwa stori zote za muziki na wanamuziki wa enzi hizo na sasa. Globu ya Jamii inapenda kumpongeza Kitime kwa ushujaa anaouonesha katika kuhifadhi na kutangaza mambo haya ya historia kali kali za muziki na wanamuziki wa Tanzania. Mtembelee leo uone mwenyewe - MICHUZI
BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...