Je ni mambo gani ya muhimu kuzingatia pindi unaponunua kompyuta ya mezani(PC desktop) au ile ya mkononi(PC laptop)? 

Ili kuhakikisha wanajamii wanapata uelewa wa dhati juu ya hili ukizingatia ni moja kati ya swali ambalo wengi wetu tumekuwa tukipambana nalo.Pata mazingatio kwa kutembelea Mchakato wa kununua Laptop/PC ndani ya (bofya hapa)AfroIT Forums
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...