Kaka Ankal!
Hii accident imetokea jana majira ya saa kumi jioni hivi. Imetokea maeneo ya Mahenge yaani kama kilomita 15 kabla hujafika Kitonga,kama unakwenda Iringa. Nadhani driver alikuwa kauchapa usingizi, maana nilipomuhoji akasema hajui kilichotokea, ila wamesalimika yeye na utingo wake! mbaya zaidi eneo lenyewe hakuna network inayokamata.
Mdau Hussein

Wananchi wakiangalia gari hilo
Ishukuriwe hakuna aliyepoteza maisha
Limelala katikati ya barabara...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. nawapa pole dereva huyo pamoja na utingo wake. Ila wanatakiwa wawe makini maana nai hatari sana kuendesha gari huku wamelala. Madhara yake ndio hayo.

    ReplyDelete
  2. wewe ulijuaje alikuwa amelala? mtu akisema hajui kilichotokea ndo unafikiri alilala? what about a shock. tuache kujifanya wataalam wa kila kitu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...