Mwaka 2006 wakati wa ziara yake katika soko hilo Rais alitoa agizo la kutoanika mazao chini ili kulinda afya ya mlaji. Agizo hili limetekelezwa vyema na sasa mazao yanahifadhiwa vyema kuzingatia kanuni za afya. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
Mwaka 2006 wakati wa ziara yake katika soko hilo Rais alitoa agizo la kutoanika mazao chini ili kulinda afya ya mlaji. Agizo hili limetekelezwa vyema na sasa mazao yanahifadhiwa vyema kuzingatia kanuni za afya. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...