Baadhi ya wanachama wa CCM mkoa wa Dodoma wakishiriki katika matembezi maalumu ya kuadhimisha miaka 34 ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi. Matembezi hayo yalianza katika ofisi ya CCM Mkoa na kuishia katika bustani ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Mrisho Kikwete(watatu kushoto) na Mkewe Mama Salma Kikwete(wane kushoto) wakiwaongoza wanachama wa CCM mkoa wa Dodoma katika matembezi ya sherehe za maadhimisho ya miaka 34 ya kuzaliwa kwa CCM mnamo mkwaka 1977.Kulia nia katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba na wapili kushotoi ni mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma William Kusila.
Huyo jamaa nyuma ya Kikwete na Jezi ya Aston Villa(Blue)wapi na wapi? Dressing code
ReplyDeleteHongera chama cha mapinduzi, tunapongeza uongozi mzuri wa chama hiki Tawala kwa kuinua maisha ya Watanzania,kuishi vizuri na kuongezeka kwa maendeleo nchini, hakika tunakupongeza rais wetu Jk.
ReplyDeletewe anony wa 2 nakusubiria ufilisike, unaongea kwakua umeokoteza kwa msaada wa mjomba, wanaolala njaa unawaona mafala, ipo siku yako ya kusaga meno yaja.
ReplyDelete