Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Mrisho Kikwete(watatu kushoto) na Mkewe Mama Salma Kikwete(wane kushoto) wakiwaongoza wanachama wa CCM mkoa wa Dodoma katika matembezi ya sherehe za maadhimisho ya miaka 34 ya kuzaliwa kwa CCM mnamo mkwaka 1977.Kulia nia katibu mkuu wa CCM Yusuf Makamba na wapili kushotoi ni mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma William Kusila.

Baadhi ya wanachama wa CCM mkoa wa Dodoma wakishiriki katika matembezi maalumu ya kuadhimisha miaka 34 ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi. Matembezi hayo yalianza katika ofisi ya CCM Mkoa na kuishia katika bustani ya Mwalimu Nyerere mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wanachama wa CCM walioshiriki matembezi maalumu ya ya kudhimisha miaka 34 ya kuzaliwa CCM yaliyofanyika mjini Dodoma leo asubuhi.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyo jamaa nyuma ya Kikwete na Jezi ya Aston Villa(Blue)wapi na wapi? Dressing code

    ReplyDelete
  2. Hongera chama cha mapinduzi, tunapongeza uongozi mzuri wa chama hiki Tawala kwa kuinua maisha ya Watanzania,kuishi vizuri na kuongezeka kwa maendeleo nchini, hakika tunakupongeza rais wetu Jk.

    ReplyDelete
  3. we anony wa 2 nakusubiria ufilisike, unaongea kwakua umeokoteza kwa msaada wa mjomba, wanaolala njaa unawaona mafala, ipo siku yako ya kusaga meno yaja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...